Ligi kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea Tena Leo ambapo KMC itawakaribisha Namungo Fc wakati Geita Gold itawakaribisha Costal Union Ya tanga.

Katika michezo 8 Kati ya KMC na Namungo, KMC ameibuka na ushindi Mara 2 sare 4 huku Namungo akiambulia ushindi Mara moja.

Katika michezo 3 Geita gold Na Costal Geita amepata ushindi Mara 1 na kwenda sare Mara mbili  


Utabiri wetu

KMC vs Namungo FT 2

Geita Vs Costal FT 1-0

PIGA MKWANJA NA KAMPUNI HIZI ZENYE ODDS KUBWA.

1. Gals sport Jiunge kwa kugusa >HAPA>

2. 888 bet Tanzania Jiunge >>HAPA>>

3. Helabet tz Jiunge kwa kugusa >>HAPA