Kujiunga na Wasafi bet

 

Diamond platnumz akishirikiana Na kampuni ya kubeti Kenya ya Odibet anatarajia kuzindua kampuni mpya ya kubeti Wasafibet hivi karibuni.



Kupitia mtandao was Instagram wa star wa  bongo fleva Diamond ameposti logo ya wasafi bet Na kuambatanisha Na caption isemayo "mkwanja upo  huku"


Mtandao huo unatarajiwa kuzinduliwa Na kupatikana mtandaoni muda mfupi ujao.


Kujiunga Na #pmbet Tanzania bofya >>HAPA>>>

Mashele

I'm emanuel Masshele, experienced in igaming content writer, betting and casino review, igaming bussines, and affiliate marketing expert

Post a Comment

Previous Post Next Post