Mada : Jinsi ya kufungua Account ya betwinner
Kampuni ya kubeti mtandaoni ya betwinner Tanzania nikampuni ya michezo ya bahati nasibu ya mtandaoni pamoja na michezo ya kasino mbalimbali ambazo zinaweza kukupa ushindi wa kitita kinono. Katika makala hii tutaeleza Hatua kwa Hatua jinsi ya kujisajili na kujiunga na Betwinner Tanzania.
Sababu Kwanini ujiunge na Betwinner Tanzania
- Bonasi ya ukaribisho kutoka Betwinner Tanzania. Hapa mteja mpya utapata Bonasi ya Mara mbili ya kiasi ulichodeposit Hadi TSH 300,000 baada ya kudeposit kwenye account yako ya Betwinner Tanzania. Chukua Bonasi yako Betwinner Tz kwa kugusa >HAPA>
- Odds kubwa na options nyingi kutoka Betwinner. kampuni ya kubeti ya betwinner Tanzania inatoa odds kubwa kwa wateja wake pamoja na options nyingi zitakazokupa uhakika wa ushindi zaidi tembelea betwinner tz kwa taarifa zaidi
- Betwinner Ni kampuni Inayolipa kwa haraka. Betwinner hutoa malipo kwa haraka kupitia Mpesa, tigopesa, Airtel money, na wallet nyingine mtandaoni za kkidigitali.
JINSI YA KUJISAJILI BETWINNER TANZANIA
Ili uweze kujisajili au kufungua account yako ya Betwinner Tanzania unatakiwa kufuata Hatua zifuatazo.
- Fungua account ya betwinner Tanzania kwa kubofya >HAPA>
- Jaza namba yako ya simu bila kuanza na 0 Kisha Bofya send sms/tuma ujumbe utapokea code maalumu Jaza
- Weka promo code ya betwinner ambayo ni 199511
- Bofya jisajili (Jiunge)
Baada ya kujisajili unatakiwa kuweka salio kwenye account yako kwa kubofya Deposit. Njia za kuweka pesa Ni Vodacom, Tigo, halopesa, Airtel, na njia za kidigitali. Bofya njia husika Jaza Email yako na kiasi Kisha kamilisha muamala.
![]() |
Njia za kuweka na kutoa pesa Betwinner Tanzania. |
Ndani ya betwinner kunayo michezo mbalimbali ambayo itakupa ushindi Kama vile michezo ya mpira wa miguu, wavu, magari, ngumi, virtual, farasi, casino mbalimbali za betwinner, Aviator, na crash game tembelea app ya Betwinner kwa maelezo zaidi.
Pamoja na hayo unatakiwa kucheza michezo ya kubashiri kistaarabu na ili kuepuka kupata hasara.