Kampuni Tajiri zaidi ya Betting

 Kampuni ya kubeti ya 888bet Tanzania ndio kampuni tajiri zaidi ya betting sio Tanzania tu bali hata duniani . Kampuni chini ya Port achia inamilikiwa na 888holding africa Chini ya kampuni ya Evoce Ya nchini Gilbatari


🔵Kampuni hii ilianzishwa mwaka 1997.
🔵 Mwaka 2022 walifanikiwa kununua kampuni ya Willium hill iliyoanzishwa 1934 London kwa dau la £2.2 billion

🔵 kwa mujibu wa wikipedia wanaonesha mapato ya 888holding, US$1,710.9 million (2023)

Operating income

US$33.0 million (2023)

Net income
US$(56.4) million (2023)[Websitewww.evokeplc.com

🔵 888bet Tanzania nadhani ndiyo kampuni pekee ambayo haina limiti ya ushindi yani odds utakazo weka hakuna ukomo hata ushinde Quadrilion

🔵 kampuni ya 888bet ndio kampuni pekee yenye jackpot ya bure ushindi wa zaidi ya milion 500

🔵 Kampuni ya 888bet inajitangaza katika kila website kubwa kwa ndogo hata hapa jf wanajitangaza huku wakimwaga mamilion ya matangazo

Hivyo 888bet ndio kampuni tajiri zaidi kulinganisha na kampuni nyingine

BOFYA <HAPA> KUJIUNGA NA 888BET

Editor

I'm emanuel Masshele, experienced in igaming content writer, betting and casino review, igaming bussines, and affiliate marketing expert

Post a Comment

Previous Post Next Post