Kampuni za kubeti Tanzania





Tanzania kumekuwa na ongezeko la makampuni mengi ya kubetia hasa upande wa mtandaoni hapa nine kuo rodheshea kampuni ambazo zinatoa Huduma bora na zinazomjali mteja.

1. Playmaster Tanzania, hii ndiyo kampuni 1. Kwa ubora.
Faida zake
-malipo kwa wakati
-Wana ods kubwa
-bonasi unapojiunga, vilevile kwenye page zao za Facebook kunabonus kibao ukiwa umejiunga nao
-kuna kuturbo mkeka
-Kuna aina nyingi za kuchagua kama vile red card, golikipa ataliza mchezo n.k
-kunamichezo ya aina nyingi
- unapoweka dau la kuanzia 1000 halafu ukaweka timu zenye ODs zaidi ya tano ikichana moja unalipwa.
 Faida nyingine tutaendelea kujuzana Ila ukitaka kujiunga nao
Bofya HAPA

1.2  Betway pamoja na upya wa kampuni hii ni miongoni mwa kampuni zinazofanya vizuri katika tasnia hii kwa hapa tanzania.
- Bonus , kwa upande wa bonus mteja anapojisajili hupewa bonus ya kuanzia 3000, Malipo  kwa wakati, kurudishiwa pesa yako pale timu moja inapochana kumeifanya kampuni hii kupendwa na wengi.
Kujiunga BOFYA >>>HAPA>>

2. 22Bet, hii ni kampuni mpya kwa hapa Tanzania lakini inayofanya vizuri sokoni. Kwanza nikutokana na bonus yao kubwa ya ukaribisho ya hadi 100%
Machaguo mengi,  bonus ya birthday , bonus ya kila ukiweka pesa ijumaa,malipo ya wakati kunaiweka juu kampuni hii. Kujiunga na 22Bet bofya HAPA
Soma pia: KAMPUNI BORA ZA KUBET UPANDE WA MTANDAONI TANZANIA

3. 1XBET , Hii ni kampuni ya Urusi, huku hakuna makato ya kodi, michezo kibao na ods kubwa,  kuna cash out vilevile, kuna magerm mengi ambayo unaweza kucheza na kujiingizia mkwanja tatizo nikuwa hawana njia za kudeposit kwa njia ya simu mpaka utumie Visa card au master card

Ukitaka kujiunga nao Bofya HAPA

4. MERIDIAN BET,
hii ni kampuni kongwe, saivi nao wameanzisha jackpot ya kila siku, wanatoa bonus kwenye page zao, kiwango cha chini cha kubet ni 100
Kunamichezo pia ya aina nyingi ambayo unaweza kuicheza na ukavuna mkwanja
Kujiunga nao Bofya HAPA promo code 1109


5.  Pigabet, hawa wanakupa uwezo wa kubashiri hata matukio yasiyo ya Mpira, idadi ya kadi, ods kubwa sana  malipo ya wakati na ufanisi wa huduma unaifanya kampuni hii kuwa na ubora wa aina yake. Kujiunga na pigabet Bofya HAPA


6. PrimierBet, hii ni miongoni mwa kampuni kongwe Tanzania, malipo yake ni yawakati, kila ijumaa wanawajazia Wateja wake fedha kuanzia 2000 hadi 20000 lakini bila mpangilio maalumu. Kuna ods kubwa, kujiunga ni rahisi, pia Huduma kwa Wateja kwao ipo sawa.
Hawa ukitaka kujiunga nao Bofya HAPA

7. Bett Pawa

hawa kubwa zaidi wa Jackpot inayoanzia na shilingi 100 kwa mechi 17, kuna live bet, vilevile malipo yao ni yawakati malipo mengi kwa mkeka mmoja ni chini ya milioni 24 ods zao sio mbaya
Ukitaka kujiunga nao Bofya HAPA

8. SPORT PESA, hawa wana jackpot kubwa kuliko zote nchini japo hakuna aliyewahi kuila, Ila uzuri wanatoa bonus nono kwa wale wanaopatia kuanzia timu 12, nirahisi kujiunga na nirahisi kutumia pia

Ukitaka kujiunga nao Bofya HAPA

9. WINPRINCES, hii inakamata Nafasi ya Tisa, bonus ya 1000 kwa kila mwanachama mpya, mwonekano bora na malipo yawakati inaifanya kampun hii kuwa Top ten 

Kujiunga na winprinces bofya HAPA


10. M.Bet, hawa jackpot yao nirahisi na maranyingi wadau wamekuwa wakiitungua, so far wanahuduma bora, kiwango chao cha kuuanzia 500 jackpot ni 1000,
 Kujiunga nao Bofya HAPA

11. Mkeka Beti

12.  Princess Bet

13. Parmarch tz
Nyingine ni hizi,

14. Sokabet
15. Mcheza
16. Tbet
17. Bikospoti

19. Princessbet
20.Galspot
21. Bingwabet
22. Mojabet


Hizi ndizo kampuni bora 10 Tanzania ambazo hazina longolongo.


Post a Comment

0 Comments