Maelezo.
Parmatch ni kampuni inayojihusisha na michezo ya kubahatisha iliyosajiliwa na board ya michezo nasibu Tanzania . kampuni hiyo inatafuta mawakala kwaajili ya kusajili Wateja wapya mtandaoni na nje ya mtandao.
Sifa za mwombaji.
-awe angalau amehitimu kidato cha Nne na kuendele na anayejua kusoma na kuandika.
-Awe mchapakazi
-Awe na umri zaidi ya miaka 23
_Mkazi wa Moshi au Arusha
*MAJUKUMU
kutafuta Wateja na kuwasajili.
Mafunzo yatatolewa, pamoja na usaidizi
*MALIPO
Malipo yatafanyika Mara mbili kwa mwezi k
Wasilisha maombi yako kwa enail, info.masshele@gmail.com
*MAJUKUMU
kutafuta Wateja na kuwasajili.
Mafunzo yatatolewa, pamoja na usaidizi
*MALIPO
Malipo yatafanyika Mara mbili kwa mwezi k
Wasilisha maombi yako kwa enail, info.masshele@gmail.com
WhatsApp +255766605392
Tahadhari usitoe Malipo kwa mtu yeyote kila mtu ana nafasi Sawa, jaza na kuwasilisha form Mara moja tuu, na ikiwa ombi lako litakubaliwa tutawasiliana nawe ndani ya saa 48.
Mawasiliano
0766605392
Tahadhari usitoe Malipo kwa mtu yeyote kila mtu ana nafasi Sawa, jaza na kuwasilisha form Mara moja tuu, na ikiwa ombi lako litakubaliwa tutawasiliana nawe ndani ya saa 48.
Mawasiliano
0766605392