Kuweka pesa sportpesa

 

Jinsi ya kuweka pesa sportpesa
Kuweka pesa sportpesa

Sportpesa| sportpesa download tz apk | app ya sportpesa | sportpesa Jackpot | kuwekapesa sportpesa| www.sportpesa.co.tz

Introduction

Katika makala hii tutaeleza hatua kwa hatua jinsi ya kuweka pesa sportpesa

Sportpesa ni kampuni ya michezo ya kubeti inayohusisha kubeti mpira wa miguu pamoja na kasino za mtandaoni.

Sportpesa kwa Sasa huendesha shughuli zake Tanzania na Kenya.

Contents

Kuweka pesa sportpesa

Jinsi ya kuweka pesa kwenye akaunti yako ya SportPesa kupitia mitandao ya Vodacom, Airtel, Halopesa au Tigo:
-

Ukishamaliza kujisajili, kuweka pesa kwenye akaunti yako ya SportPesa ni rahisi, fuata hatua zifuatazo:

SOMA PIA KAMPUNI BORA ZA KUBETI MTANDAONI TANZANIA

Hatua ya kwanza

Fungua menu kwenye simu yako kisha tuma pesa kwa kutumia namba ya biashara iliyotumwa kwako wakati wa kujisajili.

  • Vodacom M-Pesa: 150888
  • Airtel Money: 150888
  • Tigo Pesa: 150888
  • Halopesa: 150888

Hatua ya pili

Akaunti yako ya SportPesa itaongezewa pesa moja kwa moja. Kisha utapokea ujumbe wa uthibitisho kutoka SportPesa kwa muamala huo

Mf. TZS 2000 imepokelewa! Salio kwenye akaunti yako ya S-PESA ni: TZS 2000.

Hatua ya tatu

Sasa upo tayari kucheza. Anza sasa!

Tazama link hapo chini kupata taarifa zaidi kuhusu makato ya kuhamisha pesa kwa mitandao ya Vodacom, Airtel, Tigo na Halotel.

Mashele

I'm emanuel Masshele, experienced in igaming content writer, betting and casino review, igaming bussines, and affiliate marketing expert

Post a Comment

Previous Post Next Post