Sporty bet tz na 888 bet tz ipi Bora?

 


Sporty bet Tanzania na 888 bet Tanzania ni kampuni zinazoendesha michezo ya betting Tanzania, Africa na Duniani kwa ujumla. Kampuni hizi mbili zinafanana na kutofautiana kwa baadhi ya Mambo endelea kusoma makala hii kufahamu zaidi kuhusu sportybet na 888 bet tz


1. BONASI KWA WATEJA

Utoaji wa Bonasi kwa kampuni hizi unatofautiana wakati sportbet wanatoa tsh 200 Kama Bonasi 888 bet tz hutoa Bonasi ya Hadi 10000 kwa wateja wake na Bonasi ya Hadi 2,000,000 kwa mchezaji wa mchezo wa 888 bet Aviator. Unaweza kuangalia Bonasi zao kwa kubofya >>HAPA>>


2. MICHEZO YA CASINO. ndani ya 888 bet tz kunayo michezo mingi ya kasino ukilinganisha na sportybet Tanzania unaweza kuangalia michezo ya kasino kwa kubofya >>HAPA>>


3. JACKPOT YA BURE

Hii ndio tofauti nyingine kubwa inazozitofautisha kampuni hizi mbili ambapo kwenye sportybet tz hakuna jackpot ya bure, wakati 888 bet ipo jackpot ya kucheza bure na unaweza Kushinda Hadi milioni 500 Kama utapatia michezo yote au kupata Bonasi pale utakapokosa timu chache. Jiunge na jackpot kwa kugusa >>HAPA>>


5. HUDUMA KWA WATEJA

huduma Bora kwa wateja nikipengele Muhimu Sana ambapo kampuni hizi 888 bet na sporty bet tz hutoa huduma nzuri kwa wateja wake.


Kujiunga na 888 bet tz Bofya >>HAPA>>

Kujiunga na sportybet tz Bofya >>HAPA>>

Hitimisho

Makala hii nikutokana na utafiti wetu tulioufanya na makala hii inaweza kupokea marekebisho wakati wowote

2 Comments

  1. Samahani nisaidie munifingulie nimesahau nenosil bas

    ReplyDelete
    Replies
    1. Bofya palipoandikwa request new password or forgot password

      Delete
Previous Post Next Post