Jinsi ya kujisajili Betway Tanzania

  Betway nikampuni  ya kubashiri mtandaoni iliyosajiliwa kwa mujibu wa bodi ya michezo ya bahati nasibu Tanzania.

Betway inafanya kazi katika nchi mbalimbali africa kama vile, zambia, ghana, south africa, nigeria msumbiji miongoni mwa nchi nyingine.

Katika makala haya tutajadili hatu kwa hatua jinsi ya kuweza kujisajili na betway na kuwa na account yako ambayo utatumia kuweka mikeka mitandaoni. Hatua hizi nipamoja na


Kujisajili Betway Tanzania

  1. Kutembelea tovuti ya betway au bofya <Hapa>
  2. Jaza namba yako unayohitaji kufungualia account ya betway
  3. Tengeneza passwords  yako ambayo utaikumbuka utaitumia ku login kwenye aaccount yako
  4. Je unapromo code? Bofya ndio ninayo kisha jaza promo code ya betway kwaajili ya bonasi ambayo ni TZA84
  5. Bofya vibox kwa kuweka alama ya tik kukubali sheria vigezo na masharti
  6. Bofya jisajili  na udeposit  kwenye account yako

Jinsi ya kuweka pesa kwenye account yako ya betway

Unaweza kuweka pesa katika account yako kupitia Mpesa, mixx by Yas, halopesa, airtel money

Kuweka pesa ingia katika account yako na ubofye sehemu iliyoandikwa deposit . Unaweza kudeposit automatic au kupitia ussd

Mwisho . Bashiri kistaarabu


Mashele

I'm emanuel Masshele, experienced in igaming content writer, betting and casino review, igaming bussines, and affiliate marketing expert

Post a Comment

Previous Post Next Post