Cash out ni huduma ya kukatisha mkeka wako huku ukitarajia kulipwa kile kilichopatikana mpaka mute huo. Sio kampuni zote zenye cashout, cashout inaweza kuokoa mkeka wako unaoelekea kwenda kuchanika.
Ni muda gani muhimu wa kuchukua cashout?
Kiukweli hakuna muda maalumu wa kuchukua cashout, ila itategemea na muenendo wa mkeka wako na kampuni husika. Kampuni nyingine huweza kutoa cashout ili kuokoa hasara
Je cashout inahasara?
Yapo mazingira ambayo mkeka hushinda baada ya cashout huku ukijikuta kuachia pesa nyingi ambapo ungesubiri mkeka kutamatika ungeshinda kiasi hicho cha fedha.
Orodha ya kampuni za kubeti zenye cashout
Kampuni ya betway tanzania hutoa huduama nzuri ya cashout na utaweza ku cashout pale utakapohisi mkeka wako unaweza kuchanika pia unaweza ku cashout sehemu ya mkeka na ukaacha nyingine inaendelea. Bofya <HAPA > kujiunga na Batway Tanzania .
2. Gal sport Tanzania .
Kampuni hii pia hutoa huduma ya cashout kwa wateja ili kuokoa mikeka yao. Unaweza ku cashout muda wowote utakao hitaji na pes
Kujisajili Gal sport bofya <HAPA>
Hii kampuni kongwe ya kubashiri tanzania ambayo hutoa huduma ya cash out pia kwa wateja wake. Unaweza ku cashout mkeka wako kutoka wakati unaoanza kuweka, timu kadhaa zitakapotoa matokeo au wakati mwingine wowote, isipokuwa katika matukio muhimu kama vile goli ambapo cashout inasitishwa kwa muda.
Kujisajili meridian Bet Tanzania Bofya <HAPA>
4. Pmbet Tanzania.
Hii ni miongoni mwa kampuni za kubeti tanzania ambazo huwa na huduma ya cashout kwa wateja. Unaweza ku cashout kuanzia muda wowote katika mkeka wako. Uzuri wa pmbet ni rahisi kutumia na ku cashout mkeka wako. Kujiunga na Pmbet tanzania bofya <HAPA>
888bet tanzania hutoa huduma ya cashout endapo hakuna mchezo unaoendelea kwa wati huo kutoka kwenye mkeka wako. Faida ya huduma hii itakuzuia ku cashout wakati mchezo unaendelea hivyo huwezi kujutia cashout uliyoifanya wakati mchezo unaendelea . Kujiunga na 888bet Bofya <HAPA>
Kumbuka kutathimini mkeka wako kabla ya kuamua ku cashout.